japo ni mengi yanakutokea kamwe hayataweza kukutenganisha na MUNGU wetu aliye hai.
Omba ushirika kwa MUNGU wakati wowote.. Yeye yupo pamoja na si kila tumwitapo/
barikiwa na nyimbo hii ya shusho..huku na wewe ukichukua wakati wako wa kuomba ushirika kwa BWANA MUNGU